
Melania Trump alifuata kanuni akikutana na Papa akiwa na Donald
Melania Trump aliwasili Vatican akiwa amevalia nadhifu, nguo ndefu, mikono imefunikwa na kujifunika kitambaa cheusi kichwani.
chaguo lake la mavazi hususan kitambaa cheusi, kilitambuliwa sana na wale wanaomfuatilia kwa karibu mama huyo kwa kwanza wakati wa ziara ya kwanza ya mumewe nchi za kigeni.
Bi Trump hakujifunika kichwa alipoenda Saudi Arabia Kitamaduni viongozi wa nchi na wake zao huchagua kuvaa nguo nyeusi.
Michelle Obama alifunika kichwa akikutana na Papa Benedict XVI mwaka 2009 Hata hivyo kuna wengine ambao wanapuuza kanuni hizo.
Camilla, hakuvaa nguo nyeusi alipoenda Vatican mwezi Aprili mwaka huu
Melania White House inasema ilijuliswa kuhusu kanuni za mavazi
Comments
Post a Comment