
Gari lagonga na kuua mtu 1 na kujeruhi 19 New York
Mtu mmoja ameuawa na wengine 19 kujeruhiwa wakati gari liliendeshwa kuenda sehemu ya kupitia watu eneo la Times Square mjini New York, Marekani.
Dereva wa gari hilo amekamatwa na eneo hilo kufungwa kwa mujibu wa idara ya polisi ya mji wa New York.
Picha kwenye mitandao ya kijamii zilionyesha watu wakiondolewa eneo hilo.
Picha kwenye mitandao ya kijamii zilionyesha watu wakiondolewa eneo hilo. Picha kwenye mitandao ya kijamii zilionyesha watu wakiondolewa eneo hilo.
Picha zilionyesha gari nyekundu aina ya Honda likiwa limepinduka huku likifuja moshi Waliongeza kuwa kisa hicho hakina uhusiano na ugaidi.
Polisi wanasema kuwa dereva alipoteza mwelekeo na huenda kisa hicho kinaonekana kuwa ajali.
Comments
Post a Comment