WAZIRI LUKUVI AWASHUKIA VIONGOZI WAPORA ARDHI


Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa ofisi ya ardhi mkoa wa Katavi jana. Wa pili kulia ni Naibu Waziri wa Ardhi Dkt Angeline Mabula na wa tatu kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Katavi Juma Homera.


Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akipeana mkono na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda mkoa wa Katavi Michael Nzyungu ikiwa ni ishara ya kupongezana baada ya Waziri wa Ardhi kumkabidhi gari lenye thamani ya shilingi milioni 150 na vifaa vingine vya upimaji kwa lengo la kurahisisha utendaji kazi katika sekta ya ardhi nchini.


Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi na Naibu wake Dkt Angeline Mabuka wakiongozwa kuelekea kutoa gari na vifaa vya upimaji kwa ajili ya urahisaji utendaji kazi wa sekta ya ardhi katika mkoa wa Katavi jana baada ya kuzindua ofisi ya ardhi mkoa wa Katavi jana, Wa pili kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Katavi Juma Homera.


Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akizungumza na Msajili Msaidizi wa Hati Liz Kibada wakati akikagua majalada ya ardhi katika ofisi ya Msajili wa hati jana katika uzinduzi wa ofisi ya ardhi mkoa wa Katavi. Kulia ni Mkuu wa mkoa wa Katavi Juma Homera.

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akizungumza na wananchi mbalimbali waliokwenda kushuhudia uzinduzi wa ofisi za ardhi mkoa wa Katavi jana.


***********************************


Comments