KOCHA WA SIMBA:TULIKUWA TUNAWATAKA YANGA

Simba SC imemtangaza kocha mpya – Millardayo.com

KOCHA Mkuu wa Simba, Mbelgiji, Sven Vandenbroeck, amesema kuwa alikuwa anataka akutane na Yanga, ndiyo sababu ya kuwafunga wapinzani wao, Azam FC, juzi.

Simba iliifunga Azam mabao 2-0 na kufanikiwa kufuzu Hatua ya Nusu Fainali ya Kombe la FA ambapo watakipiga na Yanga, Julai 12, 2020

Unahisi SIMBA watapata Wanachokitaka??? 

Comments