Picha: Waziri Mkuu ashiriki maadhimisho ya miaka 100 kanisa la Waadventista wa Wasabato


Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, ashiriki katika maadhimisho ya miaka 100 ya idara ya huduma za familia ya Kanisa la Waadventista wa Wasabato ulimwenguni, yaliyofanyika katika Kanisa la SDA, Magomeni Mwembechai, jijini Dar es Salaam Mei 11.2019.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).



Comments