Watangazaji wabadili mawazo ya Q Chief kuhusu kuacha muziki



Katika interview ya leo, Watangazaji wa #XXL walionekana kumshawishi Chilla asiache muziki kwani wanaamini bado ana uwezo mkubwa. Kupitia ushawishi wa #XXL na mtu aliyetajwa kama 'Mentor' (Mshauri) wa #QChief, hatimaye gwiji huyo ametangaza kubaki kwenye game.

Comments