Yusuph Manji ajing’atua Yanga

Yusuph Manji amejiuzulu katika nafasi yake hiyo uwenyeketi katika klabu ya soka ya Yanga.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari, Manji amesema ameamua kuachia ngazi ya uongozi huo kwa ajili ya kuwapisha watu wengine waongoze ili wasifikirie uongozi katika timu hiyo upo kwa ajili ya watu wachache pekee.
Soma taarifa hiyo hapa chini.



Comments