Gari lagonga na kujeruhi watu 19 New York

Gari lagonga na kuua mtu 1 na kujeruhi 19 New York
Gari lagonga na kuua mtu 1 na kujeruhi 19 New York
Mtu mmoja ameuawa na wengine 19 kujeruhiwa wakati gari liliendeshwa kuenda sehemu ya kupitia watu eneo la Times Square mjini New York, Marekani.
Dereva wa gari hilo amekamatwa na eneo hilo kufungwa kwa mujibu wa idara ya polisi ya mji wa New York.
 
Gari hilo linaripotiwa kuruka vizuizi kwenye mtaa wa 45 katika eneo maarufu la watalii.
Picha kwenye mitandao ya kijamii zilionyesha watu wakiondolewa eneo hilo.Picha kwenye mitandao ya kijamii zilionyesha watu wakiondolewa eneo hilo.                
Picha zilionyesha gari nyekundu aina ya Honda likiwa limepinduka huku likifuja moshi
 
Dereva wa gari hilo mwenye umri wa miaka 26 anafanyiwa uchunguzi wa pombe.
Picha kwenye mitandao ya kijamii zilionyesha watu wakiondolewa eneo hilo.Picha kwenye mitandao ya kijamii zilionyesha watu wakiondolewa eneo hilo.                
Anaripotiwa kuwa na historia ya kuendesha gari akiwa mlevi.
Picha kwenye mitandao ya kijamii zilionyesha watu wakiondolewa eneo hilo.
Picha zilionyesha gari nyekundu aina ya Honda likiwa limepinduka huku likifuja moshiPicha zilionyesha gari nyekundu aina ya Honda likiwa limepinduka huku likifuja moshi                
Polisi wanasema kuwa dereva alipoteza mwelekeo na huenda kisa hicho kinaonekana kuwa ajali.
Waliongeza kuwa kisa hicho hakina uhusiano na ugaidi.
Polisi wanasema kuwa dereva alipoteza mwelekeo na huenda kisa hicho kinaonekana kuwa ajali.Polisi wanasema kuwa dereva alipoteza mwelekeo na huenda kisa hicho kinaonekana kuwa ajali.

Comments