LEMUTUZ AAMUA KUANIKA NYUMBA YAKE...DUUH NI NOMAA


 Picha ya Kajumba au Kakorido chake cha msajili" hahahahahahahahahahahha hilarious!! 


"Baada ya Diamond kuweka picha za mjengo wake wa nguvu Tegeta, naye The King of All Social Media Network, Le Mutuz au Baba Agapeo na Leona, mwenye degree tatu, mtoto wa Retired PM na VP wa Tanzania, miaka 30 Mambelez, Friend of all billionaires na driver wa Le super Noah, mzee wa mabebs, Le Mutuz ameamua kuweka picha za kajumba au kikorido chake cha msajili haha im humbled u know."

Comments