MREMBO WA MUVI ZA PONO AWA MBAYA BAADA YA KUFANYA HIVI

0106-farrah-abraham-lips-twitter-9
Farrah Abraham mwigizaji wa filamu za wakubwa amekutwa na mkasa uliobadilisha maisha yake baada ya kufanyiwa zoezi la kuongeza midomo yake na daktari kukosea na midomo kuwa tofauti na alivyotaka.

Farrah anasema ” alifanya uchunguzi wa zoezi hili na kumtafuta daktari bora wa kazi hii, ganzi niliyochomwa kabla ya zoezi ndio imesababisha nipate tatizo hili, haikuendana na mimi ” .
lips 3

Comments