CHEKI MATUKIO YALIYOJILI KATIKA BIRTHDAY YA ALIKIBA

Maisha magumu sana tulipitia kipindi cha nyuma bt u ulisimama imara kama kaka mkubwa kuhakikisha kila kitu kinakuwa sawa ulipambana na mengi na bado unaendelea kupambana na mengi kwenye maisha yako lakin msimamo wetu bado unaendelea kuwa pale pale kila jambo huleta na m/mungu pole pole utafika ulipopawazia na kupaombe....napenda kuchukua nafasi hii kukutaki maisha mema yenye kheri na mafanikio akuepushie na shari na mabalaa wakuombeayo wengineHAPPY BIRTHDAY to u @officialalikiba @officialalikiba










Comments