MARIO BALOTELI AVUA NGUO HADHARANI.CHEKI HIZI PICHA

Mario Balotelli appeared to have problems keeping his shorts up as he trained at Melwood
Mario Balotelli alionekana akivua bukta yake katika uwanja wa mazoezi wa Melwood

UTUKUTU wa Mario Balotelli usikie tu. Huyu jamaa ni noma sana.
Wakati mazoezi leo, nyota huyo mwenye miaka 24 alionekana kuhangaika na kaptula yake akiivua baada ya mazoezi na kubaki 'kichupi' nje.
Mshambuliaji huyo alibaki katika uwanja wa mazoezi wa Melwood wakati wa mapumziko kupisha mechi za kimataifa kutokana na kutumikia kifungo cha mechi moja.
Kifungo hicho kilimfanya asiitwe katika kikosi cha timu ya Taifa ya Italia.
Mario Balotelli missed Italy's 2-0 win over Norway as he was serving a one-match suspension  

Mario Balotelli aliikosa mechi ambayo Italia walishinda mabao 2-0 dhidi ya Norway akitumikia kifungo cha mechi moja. 
This isn't the first time Mario Balotelli has had trouble with items of clothing - he also finds bibs difficult 
Hii sio mara ya kwanza Mario Balotelli kuwa na matatizo ya nguo 
The Italian forward appeared to be a bit sweaty after an arduous training session  
Mambo ya Balotelli hayo 

Comments