MAMA DIAMOND:MKOME MNAOTAKA KUNIGOMBANISHA NA WEMA..SOMA HAPA

 
Mama diamond ambae ni mkwe wa wema sepetu a.k.a beautiful onyinye ama madam amefunguka hivi jioni na kusema kuwa ana kera na tabia ya watu kumgombanisha na mkewe wema sepetu,Ambae yeye kwa upande wake hana tatizo na mkewe."sipendi tabia ya watu kutumia jina langu vibaya na kunisema kuwa mimi naingilia penzi la nasibu na wema kitu ambacho sifanyi kwani nasibu ameshakuwa na ameamua kutulia na wema sasa sijui watu wananitafuta nini mimi,aliongeza jamani nampenda mkewe wangu wema na lazima ataolewa na diamond.

Comments