HUU NI UJUMBE ULIOTOKA KWA DIAMOND KWENDA KWA WEMA...

Wapenzi wanaofuatiliwa zaidi Diamond na Wema Sepetu wamepitia misuko siku tofauti mwaka huu mpaka kufikia kuachana na kurudiana,hivi katibuni pamekuwa na stori tofauti kuhusu ndoa na Diamond kuhusishwa na mwanamke mwingine, Kwenye siku ya kuzaliwa ya Wema Sepetu, Diamond ametumia instagram kutoa ya moyoni kuhusu penzi lake kwa Wema. 

by @diamondplatnumz "Laiti kama Maneno yangelikuwa ni sumu basi amini, Penzi letu lingekuwa lishazikwa na Kuoza...Maana sjui ni kipi hakijazungumzwa.....vya furaha, Chuki, shangwe, fitina, Vita, majungu, Misukosuko na mabalaa ya kila aina....lakini siku zote tumekuwa tukipendana na kuthaminiana kama tumeanzana jana, kwakuwa tulijua si kosa lao, ni hawajui tu niwapi tulipotokea...to the world, you may be one person...But to me, you are the world, My Beautiful World...na kama kukupenda ni uwendaazimu basi ni bora Nikabaki kwenye uchizi wangu kuliko kupata Ufahamu....i may not be physically present to stand by you while you cut your cake, but you’ll be in my thoughts the whole day! Happy birthday Darling....mmeo niko nahangaika, bt i will be coming home soon....Love you mama"
 Screenshot_2014-09-28-03-15-44 




Comments