WEMA AOGOPA LAANA YA MAMA YAKE


NYOTA  wa  Filamu  za  kibongo  Wema  Sepetu  amesema  kuwa  katika  maisha yake  anajitahidi  hakosani  na  mama  yake  mzazi, Mirium Sepetu  ili  kukwepa  kupata  laana  ya  kile  ambacho  anaweza  kumtamkia  na  kuharibu  mwelekeo  mzima  wa  malengo  yake  aliyojipangia  kuyatimiza  akiwa  ndani  ya  ndoa  yake..
.Akizungumza  na  Mpekuzi, Wema  alisema  kuwa  ndio  maana  kipindi  ambacho  mama  yake  hakutaka  kuolewa  na  mchumba  wake  Nasibu  Abdul  'Diamond'  hakupenda  kutumia  nguvu  ama  uwezo  wake  wa  kifedha  kumpuuza  mzazi  wake  kwani  anaamini  angemuumiza  na  kumfanya  amtamkie  maneno  mabaya...

Comments