LE MUTUZ LIVE LEO KWENYE USWAZI AKIMTEMBELEA MAMANTILIE

 
Leo Lemutuz aliamua kwenda tena kumtembelea yule mamantile wa kule gerezani ambae huuza chakula na bajeti yake kwa siku ni shiling 25000 tu ambapo lemutuz alimlipa pesa yote siku ile na kuamua kuweka picha za pamoja na mamahuyo ivo basi ikatokea mdada wa kibongo aishie USA alimtumia mama huyo dolla$100 kupitia Lemutuz dada huyo anaitwa Buhite Aljabry.



Comments