KHARID CHOKORA ADAKWA NA NOTI BANDIA

helabandia
Miongoni mwa waimbaji wa muziki wa bendi ambao miezi michache iliyopita alibadilisha headline mbalimbali baada ya kuingia kwenye ulimwengu wa ngumi za kulipwa kwa Tanzania.
CHOKORAA
Inasemekana amekamatwa na hizo ambazo ni bandia na baada ya kuhojiwa amekiri kuwa ni yake lakini nae kadai amepewa na mtu asiyemfahamu,kaongea na Soudy Brown.

Comments