ANTYEZEKIEL AONGEA MAZITO KUHUSU WEMA NA DIAMOND

 
Mrembo Antyezekiel amefunguka ya moyoni kuhusu wema wepetu na diamond.Akiongea na mwandishi wetu amesema anapenda shosti wema sepetu na mchumba wake diamond waweze kufika mbali kwani ni couple inayopendwa na wengi na kuwaombea kisitokee tena kidudumtu cha kuwagombanisha wapenzi hao kwani wanapendana.


Comments