JOKATE:SIHUSIKI NA CHOCHOTE KUHUSU NDOA YA DIDA NA MUMEWE




Jokate ameamua kufunguka kuhusu madai na maneno yanayosemwa kuwa yeye ndie chanzo cha ndoa ya dida kuvurugika.alisema yeye hausiki na chochote kwani dida ni mshikaji wake na edzen ni mtagazaji mwenzie na wanaeshimiana sana.

Comments