JAYDEE AMESHINDA TUNZO ZA KUWA MSANII BORA WA KIKE KATIKA TUNZO ZA AFRIMMA

 
Mwanamuziki anayefanya vizuri katika bongo fleva Lady JayDee amepatata tunzo ya kuwa mwanamuziki bora wa kike anafanya vizuri AfricaMashariki na kuwaacha kina Avril kutoka kenya,Victoria Kimani kutoka kenya na Rema kutoka Uganda.



Comments