HII NDO IDADI MPYA YA MIILI ILIYOPATIKANA KATIKA AJALI YA NDEGE YA MALAYSIA

 
Wafanyakazi wa Ukraine wameripoti kukuta miili ya watu 196 katika eneo la ajali ilipodondoka ndege hiyo ya Malaysia MH17. 
Jumla ya watu waliokuwepo katika ndege hiyo walikuwa 298 ambapo ndege hiyo ilitunguliwa na kundi la waasi katika eneo la Ukanda wa Donetsk siku ya alhamis iliyopita.


Comments