DIAMOND PLATINUMZ KAMZAWADIA MAMA YAKE GARI LEO KATIKA BIRTHDAY YAKE...

Licha ya diamond kutokuwepo bongo alimzawadia mama yake mzazi zawadi ya gari aina ya Toyota lexus new model aliyoigharamia jumla ya sh milioni 38.1 ambapo mil 35 imetumika kununua gari hilo kutoka huko liliponunuliwa mpaka kuingia Tanzania.Na sh mil 3.a zilitumika kuiremba gari hiyo na kuweka seatcover.
Shughuli hiyo iliongozwa na babu tale akisaidiana na mchumba wa diamond wema sepetu,baada ya watu kumaliza kufuturu aliamua kuziachia video hizo mbili na kumkabidhi gari hilo mamadiamond.Shughuli hiyo iliudhuriwa na mastaa kibao wakiwemo wema,aunt ezekiel,prof jay,sheta na wengine kibao.Mama diamond leo katimiza miaka 55.















Comments