CHEKI PICHA 7 ZA NEYMAR JR AKIWA KATIKA HELICOPTER BAADA YA KUTOKA HOSPITAL..







Mchezaji tegemezi wa brazil neymar jr atimae amepelekwa kwao Guaruya baada ya kupata majeraha katika mwili wake ambayo yamemsababisha kushindwa kuendelea na mechi za kombe la dunia.

Comments