MIRINDA NYEUSI AONGEA MAZITO KUHUSU TWANGA PEPETA......NI YAPI CHEKI HAPA...


Rapa maarufu kutoka twanga pepeta pia aliwai kufanya kazi mashujaa band namzungumzia mirinda nyeusi ameamua kufunguka na kusema mazito kupitia kipindi cha mamaland kirushwacho clouds tv na ben kinyaiya.ambapo rapa huyo mirinda nyeusi a.k.a rapa kutoka china amefunguka na kusema ya kuwa "mimi mirinda nyeusi twanga pepeta sikufukuzwa ila niliacha kwenda kazini sasa hii ni wiki ya tatu,nimeamua kuongea leo ili mashabiki wangu wajue kuwa mimi sijafukuzwa na nimechoka maneno ya mama(asha baraka)ambae aliamua kunichafua katika vyombo vya habari,mimi nilikaa kwanza kutokana na sababu moja sijalipwa mshahara tokwa mwezi wa 1,pili sikuwa na mkataba na twanga pepeta.na nilipokuwa namdai pesa kwani mimi nina familia mama alikuwa akinijibu vibaya kiasi kwamba naumia sana.na wanamuziki wenzangu wanajua mimi nilikuwa sijafukuzwa twanga'
Aliongeza na kusema nataka hii nyimbo iliyokuwa studio watoe vipande nilivyoimba kwani mama alisema mimi kiswahili changu ni kibovu sasa naomba atoe hiyo sehemu niliyorap na awambie hao wengine warap.
Mama asha baraka unatakiwa ujifunze pale unapokosea haipendezi kuwa na ugomvi ama mabifu na wanamuziki wako.

Comments