JAY Z,BEYONCE,RIHANNA,CHRIS BROWN NA KANYE WEST NI WEZI...



Jayz,Beyonce,Rihanna,Chris brown,na Kanye west wameshatakiwa kwa kuwa na tabia ya wizi wa nyi mbo za producer dupty huko marekani wakati dupty alipokuwa gerezani wakubwa hao waliamua kuiba nyimbo zao kwa kushirikia na polisi yaani FBI waliokuwa wakiwasaidia kufanikisha lengo lao.




Comments