DIAMOND ASEMA HAYA BAADA YA KUKOSA TUNZO ZA BET LEO USIKU...


 Msanii mwenye jina kubwa bongo na nje ya nchi diamond platinumz amekosa tena tunzo huko marekani ila akujuta ila alisema hicho katika mtandao wake wa jamii.Na aliwashukuru sana watanzania kwa sapoti yao.


Comments