DAVIDO AFANYA COLABO NA MSANII MKUBWA WA HIP POP HUKO MAREKANI..

Msanii kutoka nigeria davido ameamua kufanya nyimbo kali na meek mill kutoka kundi la mmg.ambapo alifanya kweli baada ya kupost picha yake mitandaoni akiwa na jenifer hudson na meek mill na mashabiki kumponda kuwa anamuiga wizkid

Comments