NAY WA MITEGO NA PICHA ZA KIHASARAHASARA..............





msanii wa hapa nchini nay wa mitego(emanuell elibariki)amejipatia kashfa baada ya kupiga picha na warembo wa kenya katika hoteli moja maarufu jijini hapo.nay mwenyewe anasema aliamua kupiga picha hizo na mashabiki wake na hazimaanishi chochote.......

Comments