MSANII HUYU WA MAREKANI AAMUA KULIA KRISMAS NCHINI RWANDA ......TAZAMA



Msanii huyu meranie janine brown alimaarufu kama mel b ambae alikuwa muimba wa zamani wa spice girls wa nchini uingereza aamua kulia krismas nyumbani(ikulu) kwa kagame nchini rwanda/mel b alipata mwaliko kutoka kwa watoto wa kagame waishio new york.

Comments