DIAMOND AMDISS BABY MADAHA




Baada ya bby madaha kumponda diamond kuwa anatumia wasichana wenye majina makubwa ili aweze kuwa juu,ndipo diamond alipoamua kumjibu madaha kwa kusema bby madaha anatafuta kiki na awezi kubishana na bby madaha coz si levo yake na kumalizia kuwa akatafute wa levo yake.Naye baby madaha akamjibu na kusema kwanza diamond ni mfanyabiashara kwani ajui kuimba,wala ajui kutumia chombo chochote cha mziki na kumalizia kusema diamond a.k.a weka mbali na watoto wazuri wa kike

Comments