WATANZANIA WAAMUA KUIGIZA MUVI ZA NGONO.NI AIBU SANA





Sasa wabongo wameamua kuigiza muvi za ngono bila ya uoga na bila kujali mila na desturi ya nchi yetu.muvi hizo zimewekwa kwenye mtindo wa dvd na vcd.huku kampuni iliyotengenezwa ikitajwa kwa
jina la video entertainment ambayo ndiyo iliyotengeneza muvi hiyo.kweli tunaitia aibu nchi yetu................kazi kweli kweli..........

Comments