"TUKUTANE KITAANI",VIDEO KALI MPYA YA TOX STAR FT BOB JUNIOR INAYOTOKA HIVI KARIBUNI,TAZAMA PICHA ZA BEHIND THE SCENE


 Msanii mkubwa wa muziki wa bongofleva nchini."TOXSTAR" kwasasa yupo kwenye pilikapilika za  kushoot video ya wimbo wake mpya uitwao"TUKUTANE KITAANI",aliomshirikisha raisi wa masharobaro nchini BOB JUNIOR na imerekodiwa katika studio za sharobaro jijini Dar es salaam chini ya mtu mzima Bob junior



KAA TAYARI KUIPOKEA

Comments